CHI CARGO TRANSPORTATION AGENT CO.Hii ni kampuni ya usafirishaji wa mizigo tanzania.
kampuni hii inamilikiwa na ndugu ALLY CHI.
Kampuni hii ilianzishwa mwaka 2009.ikiwa makao makuu yake yapo Magomeni Mapipa
ikiwa ime sajiliwa kialali kabisa na serekali.
Marengo ya kampuni hii ni
Kuwakikisha kwamba inakua na uwezo wa kuafirisha mizigo kutoa na kuingiza mizigo ndani na nje ya nchi.
kampuni hii ina wafanyakazi wazowefu wenye mda mrefu kutoka makampuni tofauti ya usafirishaji mizigo.
kwa sasa kampuni hii imejikita sana kwa usafirishaji wa mizigo ya ndani ya nchi ususani nyanda ya kusi mwa tanzania.shinyanga.mwanza na mikoa kama vile morogoro ambayo iko kari na mkoa wa Dar es salaam.
Kwa sasa ksmpuni hii imeamisha makazi yake na kuamishiwa wilaya ya temeke.Mtaa wa buliage
kwa mawasiliano
Email;allychi52@yahoo.com; simu no. +255 714102471 au +255 713 466971
CHI CARGO TRANSPORTATION AGENT CO. N i kwa usafirishaji wa uhakika na kwa usala ma wamzigo wa mteja. KWETU SISI MTEJA NI MTU MUHI SANA,.NYOTE MNAKALIBISHWA KWA UHAKIKA WA BIASHALA ZAKO.
No comments:
Post a Comment